KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mholanzi Hans Van Der Pluijm, akiwasimamia wachezaji wake wakati walipokuwa wakifanya mazoezi ya Viungo, wakati walipowasili katika uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mholanzi Hans Van Der Pluijm, akiwaongoza wachezaji wake kutoka uwanjani baada ya kumaliza kwa mazoezi yao jana jioni katika uwanja wa michezo Gombani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)Jumatano, 23 Septemba 2015
YANGA WAENDELEA KUJIFUA VIKALI HUKO PEMBA TAYARI KUIKABILI SIMBA UWANJA WA TAIFA WIKI HII
WACHEZAJI watatu wa timu ya Yanga, Golkipa Mudathir Yahya, Salum Telela na Kelvin Yondani wakijitibu nje ya uwanja wa gombani na kushindwa jana kufanya mazoezi na wenzao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mholanzi Hans Van Der Pluijm, akiwa na wachezaji wake mara baada ya kumaliza mazoezi yao katika uwanja wa michezo gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.) Picha kwa hisani ya ZanziNews
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni