Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia haki sawa kwa pande zote ikiwemo wagombea, wapiga kura huku suala la gender balance pia likizingatiwa.Na:George Binagi-GB Pazzo Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania TAMWA. Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania TAMWA. Majadiliano yakiendelea Majadiliano yakiendelea Beatrice Bandawe (Kushoto) ambae ni Mhariri wa Gazeti la Nipashe akiwa pamoja na Godfrida Jola (Kulia) ambae ni Afisa Programu TAMWA wakitoa ufafanuzi juu ya Semna kwa wanahabari inayofanyika Jijini Mwanza. Leonida Kanyuma ambae ni Afisa Habari TAMWA akizungumza katika Semina kwa Wanahabari juu Vyombo vya Habari na Uchaguzi inayofanyika Jijini Mwanza.
Jumatatu, 19 Oktoba 2015
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA.
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia haki sawa kwa pande zote ikiwemo wagombea, wapiga kura huku suala la gender balance pia likizingatiwa.Na:George Binagi-GB Pazzo Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania TAMWA. Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Habari katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa Jijini Mwanza katika Semina ya siku tatu juu ya VYOMBO VYA HABARI NA UCHAGUZI iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania TAMWA. Majadiliano yakiendelea Majadiliano yakiendelea Beatrice Bandawe (Kushoto) ambae ni Mhariri wa Gazeti la Nipashe akiwa pamoja na Godfrida Jola (Kulia) ambae ni Afisa Programu TAMWA wakitoa ufafanuzi juu ya Semna kwa wanahabari inayofanyika Jijini Mwanza. Leonida Kanyuma ambae ni Afisa Habari TAMWA akizungumza katika Semina kwa Wanahabari juu Vyombo vya Habari na Uchaguzi inayofanyika Jijini Mwanza.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni