.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 4 Novemba 2015

ASKARI MAGEREZA ANASWA AKITAKA KUINGIZA GEREZANI MISOKOTO YA BANGI

Askari magereza muandamizi katika gereza la Naivasha GK nchini Kenya amekamatwa akijaribu kuingiza gerezani misokoto 1,800 na simu 18.

Afisa huyo mwenye cheo cha Inspekta Mkuu alinaswa akiwa ameficha misokoto ya bangi 1,772 kwenye matairi ili kuwapelekea wafungwa zaidi ya 3,000.

Kwa muibu wa chanzo cha habari mkuu wa gereza alifahamishwa juu ya biashara hiyo na ndipo alipoendesha operesheni hiyo iliyofanikisha kunasa misokoto hiyo na simu 18.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni