.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 3 Novemba 2015

FRED SWAGG AACHIA ‘NIMEWAKA’ MTANDAONI

 
Mwanamuziki anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki Bongo, Fredrick  Kalala ama jina la usanii akijulikana zaidi, Fred Swagg ameachia wimbo mpya mtandaoni  ‘NIMEWAKA’  au ‘Nimelewa’.
 
Akizungumza na Modewjiblog kwa njia ya simu kutoka jijini Mwanza,  Fred Swagg  mkali wa vibao vya Maandishi  alichowashirikisha Younf Killer na Kad Go.   Ameeleza kuwa katika wimbo wake huo mpya  wa Nimewaka, upo katika mahadhi ya rap,  ni maalum kwa watu wa rika zote hasa  sehemu za starehe ikiwemo  Club.
 
“Wimbo huu mpya wa Nimewaka ni wa  ku-Party’  ndani yake kuna komediani ikielezea watu wanavyotumia pesa na kulewa pombe za aina mbalimbali.. hivyo fans wakae mkao wa kula kuanzia sasa itakuwa mtandaoni ikiwemo mkito.com  “ ameleza Fred Swagg.
 
Fred Swagg  anabainisha video ya wimbo huo zinatarajia kuanza muda wowote kuanzia mwezi ujao huku  kwa sasa  akiendelea na promo za nyimbo zake  zingine  zinazofanya vyema  kwenye vituo vya radio mbalimbali za ndani na nje   wimbo wa ‘Kikomo’ aliomshirikisha Msanii, Da Prince  na wimbo wa  Maandishi aliowashirikisha Young Killer na Kad-
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni