Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akiagana na kiongozi wa ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, baada ya kushiriki mazishi ya Mbunge huyo mstaafu wa CUF.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akiwapungia mkono wananchi katika mtaa wa Mwembe Tanga Zanzibar, katika hafla ya mazishi ya Mbunge huyo Mstaafu wa CUF.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni