Waziri Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Hailemariam Desalegn (kulia) akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Bernard Membe alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushiriki sherehe za uapisho za Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Alhamisi, 5 Novemba 2015
MARAIS SABA WAWASILI LEO ASUBUHI KUWAHI UAPISHO WA DKT. MAGUFULI
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Hailemariam Desalegn (kulia) akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Bernard Membe alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushiriki sherehe za uapisho za Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni