.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 5 Novemba 2015

MARAIS SABA WAWASILI LEO ASUBUHI KUWAHI UAPISHO WA DKT. MAGUFULI


Waziri Mkuu wa Ethiopia, Mhe. Hailemariam Desalegn (kulia) akiongea na Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Bernard Membe alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushiriki sherehe za uapisho za Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
                                                                 Waziri Mkuu wa Ethiopia akikagua gwaride
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Nyusi akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais Nyusi akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Mhe. Shamimu Nyanduga.
                                                                                       Rais Nyusi akikagua gwaride
Rais wa Zambia, Mhe. Edger Lungu akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kushuhudia sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.
Mhe. Lungu akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Mhe. Grace Mujuma.
                                                   Rais wa Zambia akifurahia kikundi cha tarumbeta

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni