.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 26 Novemba 2015

PAPA FRANCIS AENDELEA NA ZIARA YAKE NCHINI KENYA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis ( katikati ) akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mkewe Margaret Kenyatta katika Ikulu ya Kenya jijini Nairobi jana November 25, 2015. Papa leo aliendesha misa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Nairobi na kuhudhuriwa na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki nchini humo.

Marais wastaafu wa Kenya, Daniel arap Moi ( katikati ) na Mwai Kibaki wakimsalimia Papa Francis katika ikulu ya Kenya jijini Nairobi jana November 25, 2015.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni