.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 27 Novemba 2015

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA )

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA ) bwana Rished Bade na kumteua Bwana Philip Mpango kukaimu nafasi hiyo.
 

Taarifa kutoka Ikulu jijini Dar es Salaam zinasema kuwa, uamuzi wa Rais Magufuli unafuatia ziara ya ghafla iliyofanywa na Waziri Mkuu, Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa bandarini jijini Dar es Salaam na kubaini upotevu wa makontena 349.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni