.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 22 Desemba 2015

BONDIA MAYWEATHER AONYESHA JEURI YA FEDHA ALALIA MIJIDOLA

Bondia aliyestaafu ngumi bila kupigwa Floyd Mayweather ambaye amekuwa haishi kuonyesha tambo za fedha alizochuma, amepiga picha akiwa amelala juu ya dola.

Mayweather katika picha hiyo aliyoiposti kwenye Instagram anaonekana akiwa amezingirwa na wasichana wanaookota fedha, huku akiwa amevaa headphone akisikiliza muziki.
                     Mayweather akiwa na mikanda aliyotwaa katika mapambano 49 bila kuigwa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni