.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 28 Desemba 2015

CARLOS TEVEZ AJIACHIA NA FAMILIA YAKE KATIKA FUKWE NCHINI URUGUAY

                                                                        Carlos Tevez akiwa na mkewe Vanesa. 

Mchezaji wa kimataifa wa Argentina, Carlos Teves mwishoni mwa wiki alijumuika na familia yake katika ufukwe wa Punta del Este nchini Uruguay. 

Tevez ( 31 ) alikuwa na mkewe Vanesa pamoja na watoto wao watatu, Katia, Florencia na Lito, wote walionekana kufurahia huku wakicheza michezo mbalimbali ya ufukweni ikiwa ni pamoja na kuogelea.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni