Ulikuwa ni usiku mzuri kwa Theo Walcott aliyeifungia Arsenal bao la kuongoza katika dakika ya 33 ya mchezo na baadaye Olivier Giroud akaandika bao la pili katika dakika ya 45. Bao la Manchester City lilifungwa na Sergio Aguero
Kwa matokeo hayo, Arsenal wamesimama katika nafasi ya pili wakiwa na ponti 36 .Mbona sielewi!! Kocha wa Man City Pellegrini akilalama jambo
Leo hamtoki bila kuumizwa!! Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akifurahia jambo







Hakuna maoni :
Chapisha Maoni