.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 17 Desemba 2015

LUIS SUAREZ ATINGISHA HAT TRICK KATIKA LANGO LA GUANGZHOU EVERGRANDE

Luis Surez anaiongoza vyema Barcelona ambapo hadi sasa inaongoza kwa mabao 3-0 yote akiwa ameyapachika yeye kwa lugha ya kisoka ya kigeni inaitwa hat-trick katika mchezo wao dhidi ya Guangzhou Evergrande.

Kwa mabao hayo ya Suarez huku zikiwa zimebakia dakika chache Barcelona itakuwa imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu, huku Lionel Messi akiukosa mchezo huo kutokana na kuugua.
                                    Luis Suarez akimtungua kipa wa Guangzhou Evergrande

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni