.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Desemba 2015

RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU, DK. EDWARD HOSEA

                                                                                                      Dr Edward Hosea 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini ( TAKUKURU ), Dr Edward Hosea.

Nafasi yake itakaimiwa na Valentino Mlowoka.

 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni