.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 28 Desemba 2015

RAPA KANYE WEST NA MKEWE KIM KARDASHIAN WANATAKA KUANZA KUUZA MVINYO

Rapa Kanye West na Mkewe Kim Kardashian wameanza ukarabati eneo la shamba la zabibu lililopo eneo la Hidden Hills, California katika kujipanga kuanza kufanya biashara ya kutengeneza mvinyo.

Kwa miezi 16 iliyopita wanandoa hao wamekuwa wakikarabati jengo lao lenye thamani ya dola milioni 20 lililopo kwenye eneo hilo, katika kujaribu kuongeza kuboresha mazingira ya eneo la futi 20,000.

Pamoja na hayo Kim, na Kanye, wanashauriana na wataalam kuhusiana na namna watakavyoweza kulitumia shamba la mizabibu la hekari 3 ambalo halijaendelezwa katika kuweza kuzalisha mvinyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni