.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 22 Januari 2016

MAALIM SEIF AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU ASHA BAKARI MAKAME

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,akisalimiana na Baba mzazi wa marehemu Bi. Asha Bakari Makame, alipofika kwenye msiba huo Jang'ombe mjini Zanzibar.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,akimfariji Mama mzazi wa marehemu Bi. Asha Bakari Makame, alipofika kwenye msiba huo Jang'ombe mjini Zanzibar.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akibadilisha mawazo na Baba mzazi wa marehemu Bi. Asha Bakari Makame, pamoja na kaka yake Bw. Mbarouk Makame (mwisho kushoto), alipofika kwenye msiba huo Jang'ombe mjini Zanzibar. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni