.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 21 Januari 2016

MAJALIWA ATEMBELEA KIJIJI CHA CHINANGALI DODOMA KUKAGUA ATHARI ZA NJAA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera Bunge, Vijna,Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama wakisalimiana na Bibi Vai Madelema na mwanae Josia Madelema (kushoto) wakati walipotembelea kijiji cha Chinangali wilayani Chamwino ambako walikwenda kukagua athali za njaa kwa wanakijiji Januari 20, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni