Katika mchezo huo Marko Arnautovic
alifunga bao na kuifanya Stoke kulingana kwa magoli na Liverpool kwa
manufaa ya goli la ugenini lakini machungu yaliwakuta Stoke
wanaonolewa na Mark Hughes wakati wa kupigiana mikwaju ya penati.
Matokeo ya mchezo huo Liverpool 6-5 Stoke.
Golikipa anayelaumiwa mno wa
Liverpool, Simon Mignolet alikuwa ni shujaa wa Liverpool baada ya
kuokoa kwa kupangu penati za Peter Crouch na Marc Muniesa, na
kuikatia tiketi timu yake ya kukutana na Manchester City ama Everton
kwenye dimba la Wembley February 28.
Joe Allen akimpoteza kipa wa Stoke na kupachika bao la penati
Kipa wa Liverpool Simon Mignolet akipangua penati ya Peter Crouch
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni