.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 21 Januari 2016

NEYMAR AMEPACHIKA GOLI WAKATI BARCELONA IKISHINDA DHIDI YA ATHLETIC BILBAO

Neymar amepachika goli wakati Barcelona ikishinda kwa mabao 2-1 katika mchezo wa robo fainali wa kwanza ya kombe la Copa del Rey dhidi ya Athletic Bilbao kwenye dimba la San Mames.

Mabigwa hao watetezi wa kombe hilo walicheza bila Lionel Messi aliyepumzishwa pamoja na Luis Suarez anayetumikia adhabu, lakini walipata mabao 2 ndani ya dakika 25 za mwanzo.

Barcelona ilipata goli la kwanza kupitia kwa Munir el Haddadi aliyeunganisha wavuni krosi ya Ivan Rakitic, kabla ya Neymar kufunga bao la pili.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni