Rais Barack Obama akihutubia taifa kwenye Baraza la Congress katika hotuba yake ya mwisho akiwa madarakani kama rais.
Wawakilishi wa Baraza la Congress wakimsikiliza kwa umakini rais Barack Obama
Mke wa rais Michelle Obama akiwapungia mkono wa kuwaaga wawakilishi wa baraza la Congress
Rais Barack Obama akifurahia jambo huku akiwa amezingirwa na wawakilishi wa baraza la Congress baada ya kutoa hotuba
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni