.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Januari 2016

RAIS MSTAAFU DK. JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA WAMFARIJI MAMA MARIA NYERERE

Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani wakati alipokwenda kuhani msiba wa mwanafamilia Marehemu Leticia Nyerere aliyefaiki huko Marekani hivi karibuni.
Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimfariji Mama Maria Nyerere nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani wakati alipokwenda kuhani msiba wa mwanafamilia Marehemu Leticia Nyerere aliyefaiki huko Marekani hivi karibuni.

Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimfariji Mama Maria Nyerere nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani wakati alipokwenda kuhani msiba wa mwanafamilia Marehemu Leticia Nyerere aliyefaiki huko Marekani hivi karibuni.


Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akiagana na wanafamilia mara baada ya kuhani msiba nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani wakati alipokwenda kuhani msiba wa mwanafamilia Marehemu Leticia Nyerere aliyefaiki huko Marekani hivi karibuni.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni