.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 28 Januari 2016

UNILEVER YATOA ZAWADI KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI TUMAINI

Balozi wa Blue Band Ayubu Athumani akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa darasa la sita Joseph Deogratius wa shule ya msingi Tumaini iliyopo Tabata, jijini Dar es Salaam, baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Band ‘Kula Tano’, jana. Wapili kulia ni mwalimu wa michezo Naelijwa Shaidi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni