Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashiriki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa ya Kuhudumia Watoto (UNICEF), Bi. Maniza Zaman alipokuja Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha Hati za Utambulisho wake kwa Mhe. Waziri Mahiga.
Alhamisi, 14 Januari 2016
WAZIRI MAHIGA APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MWAKILISHI MPYA WA UNICEF NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashiriki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa ya Kuhudumia Watoto (UNICEF), Bi. Maniza Zaman alipokuja Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha Hati za Utambulisho wake kwa Mhe. Waziri Mahiga.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni