.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 25 Januari 2016

WHO YATAHADHARISHA KUWA VIRUSI VYA ZIKA KUSAMBAA NCHI ZOTE ZA AMERIKA

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa virusi vya Zika vinatarajiwa kusambaa karibu katika mataifa yote ya Amerika.

Maambukizi ya virusi hivyo vinavyosambazwa na mbu husababisha homa, maumivu ya misuli na kichwa, na tayari umo katika mataifa 21 ya Caribbean, Kaksakzini na Kusini mwa Amerika.

Virusi vya Zika vinahusishwa na watoto wanaozaliwa na vichwa vidogo na kwenye baadhi ya mataifa wanawake wanashindwa kutunga mimba. Hakuna dawa wala chanjo ya ugonjwa huo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni