.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 16 Januari 2016

ZLATAN IBRAHIMOVIC AIPATIA PARIS ST-GERMAIN USHINDI DAKIKA ZA MWISHO

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic ameipatia Paris St-Germain ushindi wa dakika za mwisho na kuifanya iongoze Ligi Kuu ya Ufaransa kwa pointi 23 baada ya kuichapa Toulouse bao moja kwa bila.

Raia huyo wa Sweden amefikisha mabao 24 katika msimu huu baada ya David Luiz kupiga mpira wa kona dakika 17 kabla ya kumalizika kwa mechi.

PSG inaendelea jitihada zake za kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Ufaransa kumaliza ligi hiyo bila ya kufungwa.
                                                 Zlatan Ibrahimovic akifunga bao pekee kwa PSG

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni