Kikosi cha timu ya KPMG Waliosimama kutoka kushoto ni Isyaka,Bakari,Isaya, Nsanyiwa,Hamza(kocha),Getrude(kiongozi wa timu) na Jovin. Walioinama kutoka kushoto ni Evans, Denis, Jamal, Thobias, Frank, Ahmed na Amiri. Aliyelala ni Jim aka Messi wa KPMG katika michuano ya Awesome Bonanza mwishoni wa wiki iliyopita ambapo michuano hiyo imeandaliwa na Jarida la kila mwezi la Awesome magazine
|
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni