.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 21 Februari 2016

MCHUANO WA WAWANIA URAIS WA MAREKANI WATINGA RAUNDI YA TATU

Mchuano wa wagombea wa Republican na Democratic wa kuwania kuteuliwa kugombea urais wa Marekani unaingia katika raundi ya tatu.

Vituo vya kupigia kura vimeshafunguliwa katika kura za maoni huko South Carolina, ambapo muwania urais anayeongoza kwa Republican Donald Trump akijaribu kumuacha mbali Ted Cruz.


Naye Bi. Hillary Clinton na Bernie Sanders watakabiliana katika mchuano wa karibu wa wawania urais wa chama cha Democratic huko Nevada.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni