.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Februari 2016

MWANAMKE AKAMATWA NA KICHWA CHA MTOTO JIJINI MOSCOW

Polisi katika Jiji la Moscow nchini Urusi wanamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma za kumuua mtoto baada ya kukutwa akiwa amebeba kichwa kilichokatwa cha mtoto huyo.

Mwanamke huyo anayedhaniwa kuwa ni mtumishi wa ndani anatuhumiwa kumuua mtoto huyo na kisha kuchoma moto nyumba ya wazazi wa mtoto huyo.

Picha za CCTV zimemuonyesha mwanamke huyo aliyevalia hijabu, akitembea karibu na usafiri wa treni akiwa ameshikilia kichwa cha mtoto.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni