.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 18 Februari 2016

RAIS BARACK OBAMA ANATARAJIWA KUITEMBELEA CUBA MWEZI MACHI

Rais Barack Obama anajiandaa kutembelea nchi ya jirani na Marekani ya Cuba mapema mwezi ujao na kuwa rais wa kwanza wa Marekani kuitembelea nchi hiyo tangu kupita miaka 90 ya uhasama wa Kidiplomasia.

Rais Obama alisema Desemba atafirikia kuitembelea Cuba ikiwa ni sehemu ya kufungua milango baina ya mataifa hayo na kujenga uhusiano wa kidiplomasia ili kupanua ushirikiano wa kibiashara.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni