Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameshinda awamu ya tano ya urais
na kupata fursa ya kuongeza muda wake aliofikia wa miaka 30 akiwa
madarakani.
Kiongozi huyo mwenye miaka 71, amepata kura asilimia 60.75,
huku mpinzani wake mkuu Kizza Besigye akipata kura asilimia 35, kwa
mujibu wa tume ya uchaguzi ya Uganda.
Hata hivyo Besigye ambaye amezuiliwa nyumbani kwake amepinga
matokeo hayo na kuitaka jumuiya ya kimataifa nayo kupinga ushindi wa
rais Museveni.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni