.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 21 Februari 2016

TUME YA UCHANGUZI YAMTANGAZA RAIS MUSEVENI KUWA MSHINDI WA URAIS

Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameshinda awamu ya tano ya urais na kupata fursa ya kuongeza muda wake aliofikia wa miaka 30 akiwa madarakani.

Kiongozi huyo mwenye miaka 71, amepata kura asilimia 60.75, huku mpinzani wake mkuu Kizza Besigye akipata kura asilimia 35, kwa mujibu wa tume ya uchaguzi ya Uganda.

Hata hivyo Besigye ambaye amezuiliwa nyumbani kwake amepinga matokeo hayo na kuitaka jumuiya ya kimataifa nayo kupinga ushindi wa rais Museveni.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni