Wahamiaji wawili wenye kuhaha
kuingia Ulaya wamejinyonga katika eneo la kupumzikia la Jijini Athens
wakati Ugiriki ikisema haitokuwa sehemu ya kurundika wahamiaji.
Hata hivyo wahamiaji hao wote
wanaume waliwahiwa kuokolewa kabla ya kukata roho na mmoja wao ambaye
alikuwa mahututi, alikimbizwa hospitali kwa ajili ya matibabu.
Mhamiaji mmoja aliyepoteza fahamu akiwa hajitambui
Watoa msaada wakiwa wanamnyanyua kumuweka kweye machela mhamiaji aliyepoteza fahamu baada ya kujimyonga



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni