.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 20 Machi 2016

DEREVA WA MBIO ZA LANGALANGA FERNANDO ALONSO ANUSURIKA KIFO

Dereva wa mbio za Langalanga Fernando Alonso amenusurika kifo kimiujiza baada yakupata ajali katika mbio za Australian Grand Prix na gari lake kuharibika vibaya baada ya kugongwa na Esteban Gutierrez katika mzunguko wa 18.
                   Gari la Alonso likijibamiza kwenye uzio wa ukuta baada ya kugongwa
              Fernando Alonso akitoka kwenye gari lililoteketea baada ya kupata ajali
Katika mbio hizo Nico Rosberg wa Mercedes alifanikiwa kutwaa nafasi ya kwanza, bingwa wa dunia wa mbio hizo Lewis Hamilton naye wa Mercedes alishika nafasi ya pili na nafasi ya tatu ilitwaliwa na Sebastian Vettel wa Ferrari.
   Lewis Hamilton akimwagia Champagne usoni Nico Rosberg huku Sebastian Vettel akiangalia

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni