.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 26 Machi 2016

LUIS SUAREZ AFUNGA GOLI NA KULAZIMISHA SARE DHDI YA BRAZIL

Mshambuliaji Luis Suarez amefunga goli katika mchezo wake wa kwanza na timu yake ya taifa tangu afungiwe kwa kumg'ata Giorgio Chiellini katika michuano ya kombe la dunia mwaka 2014.

Goli la Suarez liliisaidia Uruguay kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Brazil katika mchezo ambao wenyeji Brazil walikuwa wakiongoza kwa mabao 2-0, kabla ya Edison Cavani kurejesha goli moja na Suarez kusawazisha la pili.
                             Renato Agusto akiifungia Brazil bao la pili katika mchezo huo
Wachezaji wa Barcelona Luis Suarez na Neymar wakikumbatiana kabla ya kuanza mchezo huo wa Brazil na Uruguay

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni