.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Machi 2016

MTU ASIYE NA MAKAZI MAREKANI KUZAWADIWA DOLA LAKI MOJA KWA KUISAIDIA POLISI

Mtu asiye na makazi huko San Francisco nchini Marekani atazawadiwa donge nono la dola 100,000 kwa kuwasaidia polisi kuwakamata wafungwa wawili waliotoroka jela.

Mtu huyo Matthew Hay-Chapman alikuwa ameziona picha za wafungwa hao wawili kwenye taarifa ya habari, na kisha baadae kuwaona wakiwa ndani ya gari lililoibiwa.

Wafungwa hao walivunja gereza la kaunti ya Orange siku sita zilizopita, na kusababisha kuanzishwa msako mkali wa kutafutwa na vyombo vya dola.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni