.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 26 Machi 2016

NGUMI KUPIGWA KESHO MARCH27 UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Mabondia Abdalla Pazi 'Dulac Mbabe' kushoto akitambiana na Mada Maugo baada ya kumaliza kupima uzito kwaajili ya mpambano wao wa ubingwa wa UB.O Afrika utakaofanyika jumapili ya pasaka march 27 kesho katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Abdalla Pazi 'Dulac Mbabe' kushoto akitambiana na Mada Maugo baada ya kumaliza kupima uzito kwaajili ya mpambano wao wa ubingwa wa UB.O Afrika utakaofanyika jumapili ya pasaka march 27 kesho katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa katikat ni promota Kaike Siraju Picha na SUPER D BOXING NEWS

abdalla pazzi na mada maugo




Rojas Massam kushoto akitunishiana misuli na Mwinyi aMzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa march 27 uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Rojas Massam kushoto akitunishiana misuli na Mwinyi aMzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa march 27 uwanja wa ndani wa taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS


SEBA TEMA KUSHOTO NA PIUS KAZAULA
Mabondia Seba Temba kushoto akitunishiana mkisuli na Pius Kazaula baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpasmbano wao kesho march 27 uwanja wa ndani wa taifa katikati ni mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni