Mhe. Wilson M. Masilingi,
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington,
DC alikutana na Ujumbe wa JWTZ ulioongozwa na Mkuu wa Tiba
Jeshini, Brigedia Jenerali (Dkt.) Denis Raphael Janga, aliyekuwa
amefuatana na Mkuu wa Chuo cha Kikeshi cha Tiba - Lugalo, Brigedia
Jenerali (Dkt) Robinson Mboni Mwanjela.
Wengine ni Mkurugenzi wa Kinga
Jeshini, Luteni Kanali Charles Emilio Mwanziva pamoja na Kaimu
Mkurugenzi wa Idara ya Wauguzi, Luteni Kanali Lawrence Tia Banda. Ujumbe
huo ulikwa na ziara ya Kikazi ya wiki moja hapa Marekani, katika
kuendeleza mahusiano baina na JWTZ na majeshi ya Marekani.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni