.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Machi 2016

WAFANYAKAZI WANAWAKE WA TBL GROUP WA MWANZA, MBEYA NA ARUSHA WAPATIWA ELIMU YA MAFANIKIO

Bi.Anne Killango Malecela akitoa somo
Wanawake wa TBL Arusha katika picha ya pamoja na Bi.Killango
Wanawake wa TBL Mbeya wakipata burudani na Mkuu wa wilaya
Jaji De-Mello akiongea na wanawake wa TBL Group wa Mwanza
Baadhi ya washiriki wa TBL forum Mwanza wakiwa  kwenye picha ya pamoja
Baadhi ya washiriki wa Forum wa  Arusha wakiwa na   Bi.Killango 
Na Woinde Shizza ,Arusha.
 
Wafanyakazi wanawake wa TBL Group wa Mwanza,Mbeya na Arusha wapatiwa elimu ya mafanikio

-Ni kupitia makongamano ya TBL Forum

Kampuni ya TBL Group mwishoni mwa wiki iliandaa kongamano la kuwajengea uwezo wa mbinu za mafanikio kwa wafanyaazi wanawake katika mikoa ya Arusha,Mbeya na Mwanza ambapowalipata kujifunza mbinu za mafanikio na jinsi ya kujiamini katika kazi zao.

Wazungumzaji wakuu katika kongamano hilo la TBL Women Forum walikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Kyela,Bi.Thea Ntara (Mbeya),Bi.Anne Malecela Killango (Arusha) na Jaji Joaquine De-Mello ambao walitumia elimu na uzoefu mkubwa walionao katika kazi kuwaelimisha waawae wenzao mbinu za kupata mafanikio ambapo walisisitiza kufanya kazi kwa bidii na kwa ufanisi na kujiamini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni