.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 16 Machi 2016

WATOTO WAWILI WAVAMIA MAZOEZI YA TIMU YA BARCELONA

Timu ya Barcelona inayojianda na mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Ulaya dhidi ya Arsenal hii leo, imeonekana haina mchecheto na mechi hiyo baada ya jana kupata muda wa kucheza na watoto wawili waliovamia uwanjani wakati wa mazoezi yao.

Ikiwa tayari imeshaielekeza kibla timu ya Arsenal kwa mabao 2-0, katika mchezo wao wa kwanza katika dimba la Emirates, wachezaji wa Barcelona wanajiandaa kuichinja Arsenal leo usiku katika dimba la nyumbani Nou Camp.
                       Watoto waliovamia mazoezi ya Barcelona wakiwa na Lionel Messi
                   Neymar akimpiga picha mmoja wa watoto hao akiwa na Luis Suarez
             Dogo pia alipata muda wa kucheza mazoezi na wachezaji wa Barcelona

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni