Watu wengi wameuwawa au
kujeruhiwa vibaya kwenye mashambulizi ya kigaidi katika uwanja wa
ndege wa kimataifa wa Brussels na kwenye stesheni ya reli, Waziri
Mkuu wa Ubelgiji amesema.
Taarifa za awali zinasema jumla ya watu 28 wamethibishwa kuwa wamefariki dunia kufuatia mashambulio hayo.
Milipuko milwili
imelipuka katika eneo la abiria wa ndege wanaoondoka kwenye uwanja wa
ndege wa Zaventem.
Saa moja baadae mlipuko mwingine ulitokea kwenye stesheni ya reli ya Maelbeek.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni