.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 10 Aprili 2016

BARCELONA WAENDELEA NA GUNDU LA KUFUNGWA LA LIGA

Barcelona imeendelea kutofanya vyema katika Ligi Kuu ya Hispania La Liga baada ya kufungwa na Real Sociedad bao moja bila na kupata mstuko katika mbio za kuwania ubingwa wa ligi hiyo.

Baada ya Atletico na Real Madrid zote kushinda michezo ya jana, Barcelona ipo kileleni ikiongoza kwa tofauti ya pointi 3 dhidi ya Atletico na pointi nne dhidi ya Real Madrid huku ikiwa imebakia michezo sita ligi kuisha.
                  Neymar akijaribu kufanya vitu vyake lakini hata hivyo jahazi lilitota
   Maumivu ya kichwa huanza taratibu: Lionel Messi akishika kichwa baada ya Barcelona kupata kipigo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni