.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Aprili 2016

ICC YASEMA WILLIAM RUTO NA JOSHUA ARAP SANG HAWANA KESI YA KUJIBU

Naibu rais wa Kenya William Ruto na mtangazaji wa radio Joshua arap Sang wameachiwa huru na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) baada ya kuitupilia mbali kesi yao.

Majiji wa mahakama hiyo wameridhia kwa pamoja kuwa kesi dhidi ya Ruto na Sang ionndolewe, na kuongeza kuwa uamuzi huo hauna maana kuzuia kushtakiwa siku za baadae ICC ama mahakama ya Kenya.

Majaji Eboe-Osuji na Robert Fremr, kwa pamoja wameafiki kufutwa kwa mashtaka na washtakiwa kuachiwa huru, lakini wametoa sababu tofauti kwa maamuzi yao hayo waliyofikia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni