.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 11 Aprili 2016

MFUNGWA AUSTRALIA AMCHONGA NYWELE MWENZAKE KAULIMBIU YA KUNDI LA IS

Mfungwa mmoja mwenye umri wa miaka 18 nchini Australia anayeliunga mkono kundi la la Dola ya Kiislam, amedaiwa kutumia kisu kumchonga kichwani mfungwa mwenzake kaulimbiu ya kundi hilo.

Taarifa zinasema mfungwa huyo alimchonga nywele kichwani mfungwa mwenzake maandishi e4e, ikiwa ni kifupi cha maneno eye for an eye, ambayo kwa lugha ya Kiswahili yanaamana ya Jicho kwa Jicho.

Uchunguzi umeshaanzishwa kubaini ni kwa jinsi gani kijana huyo hatari aliweza kuwekwa pamoja na mfungwa mwenzake mwenye umri wa miaka 40.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni