Mtu aliyejitoa mhanga kwa kutumia bomu magharibi
mwa mji wa Bursa nchini Uturuki amejeruhi watu saba.
Ripoti zimesema shambulizi hilo limetokea karibu
na msikiti wa Mkuu wa Karne ya 14, ambao ni nembo ya mji huo.
Gavana wa Bursa amesema mshambuliaji huyo
anashukiwa kuwa ni mwnamke aliyejitoa mhanga.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni