.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Aprili 2016

NDEGE MBILI ZAGONGANA KATIKA UWANJA WA NDEGE JIJINI JAKARTA

Ndege mbili zimegongana katika uwanja wa ndege nchini Indonesia katika Jiji la Jakarta, na kupelekea bawa la ndege kuwaka moto.

Ndege ya abiria ya Batik ilikuwa ikijiandaa kuruka wakati bawa lake lilipogonga mkia wa ndege ya TransNusa iliyokuwa karibu na njia ya kurukia.

Mamlaka za nchi hiyo zimesema hakuna mtu aliyejeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea jana usiku, na abiria wote walitoka salama.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni