Tetemeko limelikumba eneo la kusini mwa Japan na
kujeruhi vibaya watu kadhaa na kunauwezekano wengine wamekwama chini
ya vifusi vya nyumba zilizoanguka.
Hadi sasa hakuna tahadhari ya tsunami iliyotolewa
baada ya tetemeko hilo lenye ukubwa wa alama 6.4.
Idara ya Hali ya Hewa ya Japan imesema tetemeko
hilo limetokea mashariki mwa mji wa Kumamoto katika kisiwa cha
Kyushu.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni