.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 7 Aprili 2016

UFARANSA YAPITISHA SHERIA INAYOKATAZA KUNUNUA NGONO

Nchi ya Ufaransa imepitisha sheria inayokataza kulipia ngono na mtu atakayebainika kutenda kosa la kununua ngono atatozwa faini ya dola 4,274.

Kama hiyo haitoshi mtu atakayetiwa hatiani kwa kosa la kununua ngono atalazimika pia kupelekwa darasani kujifunza hali ya maisha ya makahaba.

Wakati sheria hiyo ikipitishwa watumishi wanaojiuza miili yao waliandamana kupinga sheria hiyo kupitishwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni