WAZIRI MKUU MH.MAJALIWA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Profesa Godius Kahyarara, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Aprili 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni