.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 4 Mei 2016

BILIONEA DONALD TRUMP AFAGILIWA NJIA BAADA YA TED CRUZ KUJITOA

Muwania urais wa Marekani kwa chama cha Republican Donald Trump sasa hana mpinzani ndani ya chama chake baada ya mpinzani wake mkuu Ted Cruz kujitoa katika mbio za urais.

Cruz ametangaza kujitoa katika mbio hizo baada ya kushindwa na mfanyabiashara Trump katika jimbo la Indiana.

Trump, ambaye si maarufu sana ndani ya chama chake, sasa njia ni nyeupe ya kuwania urais anachongojewa ni kuidhinishwa na wajumbe 1,237 wa chama cha Republican.
                                   Donald Trump akisalimiana kwa furaha na wafuasi wake
           Ted Cruz akiongea wakati wa kutangaza kujitoa mbio za urais Marekani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni