Jimbo California limeongeza umri
unaoruhisiwa mtu kuvuta sigara kuwa ni miaka 21 badala ya 18 ya hapo
awali, ikiwa ni sehemu ya sheria mpya za kukabiliana na uvutaji
sigara.
Sheria hiyo inafanya sasa kuwa ni
kinyume na sheria kwa mtu aliyechini ya umri wa miaka 21 kuvuta
sigara, isipokuwa kwa mtu anayetumikia jeshi.
Watu wanaounga mkono sheria hiyo
wamesema itasaidia kuwaepusha vijana na madhara ya kuwa mateja wa
sigara.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni