.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 4 Mei 2016

KAMPUNI YA MAVAZI YA CHANEL YAONYESHA MAVAZI YAKE JIJINI HAVANA, CUBA


Kwanza ilikuwa Rais Barack Obama na kisha bendi ya Rolling Stones, sasa ni zamu ya kampuni kubwa ya mavazi duniani ya Chanel kufanya onyesho la mavazi nchini Cuba.

Mastaa na wapenda fasheni wamefika Cuba kushuhudia kampuni ya Chanel ikionyesha mavazi yake Jijini Havana hii leo.

Mbunifu Mkuu Karl Lagerfeld amesema mavazi yote yaliyoonyeshwa yameshonwa kutokana na hisia za kitamaduni.
         Wanamitindo wakionyesha mavazi yaliyobuniwa na Chanel Jijini Havana
                 Wanamitindo wakicheza huku wakiwa wamevalia mavazi ya Chanel 
Muigizaji filamu nyota Vin Diesel akionyesha ishara ya upendo kwa Cuba wakati wa onyesho hilo la mavazi ya Chanel

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni