.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 25 Mei 2016

MFANYAKAZI WA KITUO CHA MIKUTANO CHA JNICC AJISHINDIA KITITA CHA MILIONI 3

Mkurugenzi Mwendeshaji wa AICC, ndugu Elishilia Kaaya (kushoto) akimkabidhi ndugu HusseinBaitira hundi yenye thamani ya shilingi 3,800,000/- ikiwa ni motisha kwa mfanyakazi huyo baada ya kuonesha ubunifu katika kutengeneza viyoyozi kumi (10) vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) viyoyozi ambavyo vilikuwa vimeharibika.
Mshindi wa tuzo ya ubunifu, ndugu Hussein Baitira (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mhasibu Mkuu ambaye pia ana kaimu nafasi ya Mkurugenzi wa Fedha na Utawala ndugu Augustine Karadoga, Afisa Utawala na Rasilimali Watu ndugu Fanuel Festo pamoja na Katibu wa Chama cha Wafanyakazi (TUICO) tawi la AICC ndugu Rashid Habib Rashid mara baada ya kukabidhiwa hundi yenye thamani ya shilingi 3,800,000/-

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni